Posted on: March 18th, 2025
Timu ya Wataalamu ya Halmashauri ya Mji wa Mbulu( CMT) imetembelea kuona maendeleo ya Miradi inayotekelezwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Mbulu na kushauri kuongezwa umakini katika usimami...
Posted on: February 22nd, 2025
Wananchi, wafanyabiashara na watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu wamefanya usafi wa mazingira ambao hufanyika kila juma la mwisho wa mwezi.
Zoezi hilo limefanyika leo tarehe 22 Februali, 2025 ...
Posted on: February 21st, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Michael Semindu amewataka wateule wa Rais, Madiwani na watumishi wa Umma kuhakikisha wanatoa mrejesho wa shughuli za wananchi zinazohusu shughuli za maendeleo kwa wakati.
...