Posted on: October 21st, 2024
Halmashauri ya Mji wa Mbulu ni moja ya Halmashauri saba (7) zinazopatikana Mkoa wa Manyara yenye kivutio pekee kizuri cha maporomoko ya Maji ya Hhyanu
Maporomoko haya ya Maji yapo juu ya miamba ya ...
Posted on: October 19th, 2024
Matukio katika Picha yakionesha namna ambavyo Wananchi wa Mbulu Mjini wakiwa katika Hamasa ya uandikishaji Wananchi katika Daftari la mkazi kwa ajili ya kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaof...
Posted on: October 16th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Veronica Kessy ameendelea kutoa Elimu ya kujiandikisha kwenye Daftari la Mpiga ambapo amesema ni haki ya Kikatiba kwa Mwananchi mwenye vigezo vya kujiandikisha ashiriki zo...