Posted on: February 12th, 2025
Kamati ya UKIMWI( CMAC) Halmashauri ya Mji wa Mbulu imepata mafunzo yanayohusu Ukimwi na mbinu mbalimbali za kutokomeza maambukizi mapya huku ikihamasishwa kuendelea kutoa elimu kwa Wananchi.
...
Posted on: February 10th, 2025
Kamati ya Fedha Halmashauri ya Mji wa Mbulu imewataka walimu na wazazi kushirikiana ili kuleta matokeo chanya kwa wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari Wilayani Mbulu.
Rai hiyo i...
Posted on: February 7th, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali imeendelea kuweka mikakati ya kupunguza umasikini kwa Wananchi wake kupitia utoaj...