• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

MHE. SEMINDU AWATAKA MADIWANI NA WATUMISHI KUTOA MREJESHO KWA WANANCHI KUHUSU SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA SERIKALI

Posted on: February 21st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Michael Semindu amewataka wateule wa Rais, Madiwani na watumishi wa Umma kuhakikisha wanatoa mrejesho wa shughuli za wananchi zinazohusu shughuli za maendeleo kwa wakati.

Mhe. Semindu amesema hayo mapema leo Februali 21, 2025 akiwa kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani la kawaida lililofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri.

Mhe. Semindu amesema kila mtu anapaswa kuwajibika kwa Wananchi kwa kuhakikisha anatoa  mrejesho wa kazi zinazofanywa kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na kusoma mapato na matumizi kila baada ya miezi mitatu kuanzia ngazi za Vijiji.

“Sisi wateule wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, Viongozi mliochaguliwa kwa kupigiwa kura (Waheshimiwa Madiwani), Watumishi wa Umma mpaka ngazi za Vijiji niwaambie sisi mabosi wetu ni wananchi kwa hiyo lazima tuwajibike kwa kuwatumikia ipasavyo”

“Ni jukumu letu kama viongozi kumsaidia Mhe. Rais katika kuwatumikia wananchi wetu ambao wanatarajia kupata maendeleo katika sehemu zote muhimu katika upande wa Afya, Elimu, Umeme, Miundombinu na maeneo mengine kwa sababu hawezi kufika kila kijiji…hivyo sisi tuliopo ngazi za chini lazima tuseme yanayofanyika” Alisisitiza Mhe. Semindu

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA MBULU IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI ITAKAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU.

    June 12, 2025
  • WATUMISHI MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA E-UTENDAJI.

    June 11, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA IMBORU WAPATIWA ELIMU JAMII KUHUSU MAISHA YA KILA SIKU

    June 09, 2025
  • WANANCHI KATA YA IMBORU WAPATIWA ELIMU JAMII.

    June 09, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.