Posted on: February 13th, 2025
Mradi wa kuboresha miji 45 nchini (TACTIC) umefika Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mkoani Manyara kuangalia maeneo ambayo yanaweza kujengwa Stendi Kuu ya Mabasi, Soko na miundombinu ya Barabara.
Mrad...
Posted on: February 12th, 2025
Kamati ya UKIMWI( CMAC) Halmashauri ya Mji wa Mbulu imepata mafunzo yanayohusu Ukimwi na mbinu mbalimbali za kutokomeza maambukizi mapya huku ikihamasishwa kuendelea kutoa elimu kwa Wananchi.
...
Posted on: February 10th, 2025
Kamati ya Fedha Halmashauri ya Mji wa Mbulu imewataka walimu na wazazi kushirikiana ili kuleta matokeo chanya kwa wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari Wilayani Mbulu.
Rai hiyo i...