Posted on: January 28th, 2025
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mhe. Peter Sulle ameupongeza uongozi wa Halmashauri pamoja na walimu kwa usimamizi mzuri upande wa Elimu na kupelekea ufaulu wa kidato cha nne kufikia 99.62%....
Posted on: January 15th, 2025
Wazazi na walezi wa wanafunzi ambao hawajaripoti shule wameagizwa kuhakikisha ifikapo tarehe 17 Januari, 2025 wanafunzi wote wawe wamesharipoti shuleni na kuanza masomo.
Maagizo hayo yametolewa l...
Posted on: January 14th, 2025
Kamati za Ujenzi na wasimamizi wa miradi inayotekelezwa kwa fedha za Serikali Halmashauri ya Mji wa Mbulu wametakiwa kusimamia fedha hizo kwa umakini ili kutekeleza miradi husika.
Maelekezo hay...