• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

WANANCHI WAPONGEZWA KWA KUSHIRIKI WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: March 24th, 2025



Kamati ya Fedha na Utawala wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu imewapongeza Wananchi Wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kwa kuendelea kushiriki katika Miradi ya Maendeleo.

Akizungumza katika Ziara hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Utawala Mhe. Peter Sulle ameeleza Kuwa kushiriki katika Shughuli za Maendeleo ni kuunga Mkono Jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan.

“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatoa fedha nyingi kwa lengo la Kusogeza Huduma karibu na Wananchi  hivyo tuendelee kushirikiana”.Alisema Mhe. Sulle

Sambamba na hayo Mhe. Sulle amewapongeza Walimu kwa kuendelea kusimamia Miradi ya Maendeleo pamoja na Kusimamia nidhamu ya Wanafunzi kwa ujumla.

Kwa niaba ya Wananchi Ndugu.Barnabas Yamay ametoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa  na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwaajili ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.

Nae Kaimu Mkurugenzi Ndugu. Zabron Marwa ameahidi kuendelea kushirikiana ili kusongeza gurudumu la maendeleo ya Halmashauri ya Mji wa Mbulu.

Kamati ya fedha imefanya ziara katika Shule mpya ya Sekondari Hylot(Tloma),Shule mama Ya Hyloto,Ujenzi wa vyumba vinne vya Madarasa Shule ya Msingi Kuta na Ujenzi wa Bwalo,Mabweni mawili,matundu kumi ya Vyoo na Vyumba viwili vya Madarasa katika Shule ya Sekondari Kainam.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU April 08, 2025
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI May 11, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • MBULU MJI TUNAJIVUNIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU-DT REHEMA BWASI

    May 27, 2025
  • MKURUGENZI MBULU TC REHEMA BWASI AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA

    May 26, 2025
  • WANANCHI MKOANI MANYARA KUNUFAIKA NA HUDUMA YA KUSAFISHA DAMU

    May 25, 2025
  • MAAFISA HABARI WAMETAKIWA KUTOA MAJIBU YENYE UTOSHELEVU KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.