• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA KAMATI ZA MTAKUWA KUPAMBANA NA UKATILI

Posted on: December 10th, 2024

Serikali imesema itaendelea kuimarisha Kamati za MTAKUWA katika ngazi ya Halmashauri, Vijiji na Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbulu ili kufanikisha zoezi la kupambana na ukatili wa Kijinsia


Kauli hiyo imetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mhe. Alex Tango ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia yaliyofanyika Kata ya Murray Kijiji cha Murray leo tarehe 10 Disemba 2024.


Mhe. Tango amesema kufuatia uwepo wa matukio ya ukatili wa Kijinsia katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Mbulu bado Serikali inajukumu kubwa la kuendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia kwa makundi yote kupitia mikutano ya hadhara, katika shule za Msingi na Sekondari, kufanya makongamano na mijadala, kushirikisha Taasisi mbalimbali zikiwemo za Dini pamoja na kuimarisha kamati ya Mtakuwa zilizopo katika ngazi Halmashauri, Vijiji na mitaa ili kuwa na uelewa kwa wote kuhusu ukatili


“Uwepo wa matukio ya ukatili inaonesha jinsi ambavyo tunapaswa kuendelea kujipanga na kutoa elimu kuhusu ukatili, na kuwepo na usaidizi wa utoaji elimu kwa rika zote katika maeneo yote ambayo matukio haya yamekuwa yakiripotiwa na hatimaye tuweze kufanikiwa kutokomeza ukatili”

Maadhimisho ya siku 16 za Kupinga Ukatili Yamekuwa na Kaulimbiu isemayo”Kuelekea miaka +30 ya BEIJING Chagua kutokomeza ukatili wa Kijinsia”

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA-KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025

    September 09, 2025
  • TUMIENI FURSA YA ELIMU YA WATU WAZIMA KUEPUKA UTEGEMEZI-MHE. SENDIGA

    September 04, 2025
  • WAFUGAJI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU KUNUFAIKA RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO.

    August 28, 2025
  • WATUMISHI KUTENGEWA BAJETI YA KUTOSHA ILI KUSHIRIKI MASHINDANO YA SHIMISEMITA.

    August 23, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.