• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

VIONGOZI WA NGAZI ZOTE MBULU TC WAMAETAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA UTOAJI WA TAARIFA ZA VITENDO VYA UKATILI

Posted on: June 30th, 2025

IONGOZI WA NGAZI ZOTE MBULU TC WAMETAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA UTOAJI TAARIFA ZA VITENDO VYA KIKATILI.


Rai hiyo imetolewa leo tarehe 30/06/2025 na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe.Michael Semindu alipozungumza na Viongozi wa ngazi zote za Halmashauri ya Mji wa Mbulu katika Kikao cha Kuweka mipango na mikakati ya kukabiliana na vitendo vya kikatili.


"Viongozi wa Serikali tuna wajibu wa kukabiliana na vitendo vyote vya kikatili katika jamii tunazoishi,hivyo mawasiliano ni nyenzo muhimu".Alisema Mhe. Semindu


Sambamba na hayo Mhe.Semindu amewasisitiza  viongozi wote kutokupuuza  matukio yanayojitokeza katika jamii ikiweo mila na desturi potofu hasa Ukeketaji wa Wanawake.


Kwa Upande wake Kiongozi wa umoja wa makanisa ya kikristo Mchungaji Augustino Halule ameahidi kuendelea kutoa elimu kwa waumini juu ya athari ya vitendo vya vya kikatili katika jamii ili kutokomeza  kabisa matukio yote ya kikatili katika Wilaya ya Mbulu.



Kwa Upande wake Mkuu wa Dawati la Jinsia Wilaya ya Mbulu.Glory Nassoni Daud amewasisitiza viongozi kuacha tabia ya Kumaliza vitendo vya kikatili kwa ngazi ya jamii pekee bila wahalifu kuchukuliwa hatua.


“Kumekuwa na tabia ya Viongozi wa ngazi ya jamii kupokea rushwa kwa wahalifu wa vitendo vya kikatili kwa lengo la kuahirisha kesi hizo ni unyanyasaji mkubwa ambao watoto wamekuwa wakifanyiwa ni jukumu letu Alisema. Mkuu wa Dawati la Kijinsia Glory Nassoni Daudi.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA NGAZI ZOTE MBULU TC WAMAETAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA UTOAJI WA TAARIFA ZA VITENDO VYA UKATILI

    June 30, 2025
  • MHE.SEMINDU AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    June 26, 2025
  • WATUMISHI MBULU TC WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA MATUMIZI YA E-UTENDAJI.

    June 23, 2025
  • TUZO YA PONGEZI MBULU TC

    June 20, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.