• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

WAZAZI NA WALEZI HAKIKISHENI WATOTO WAMEPATA CHANJO YA POLIO

Posted on: April 24th, 2025

Wazazi na walezi wametakiwa kuhakikisha watoto wenye wiki 14 na wenye umri wa miezi 9 wanawapeleka watoto wao vituo vya kutolea huduma za Afya ili waweze kupata Chanjo ya Polio.


Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu Bw. Paulo Bura akiwa mgeni rasmi kwenye Kikao kilichofanyila leo 24 Aprili, 2025 ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kujadili ongezeko la Chanjo ya polio kwa watoto.


“Chanjo hii haihusiani kabisa na masuala ya imani za kishirikina, hivyo niwasihi wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya ili wapate Chanjo hii muhimu kwa ajili ya kulinda Afya zao”. Alisema Ndugu. Bura


Wakati huo huo amesisitiza Elimu kuendelea kutolewa kwa Wananchi kuhusu magonjwa na Chanjo mbalimbali ikiwemo ya Polio ili wananchi waweze kujitokeza kwa wingi kupata huduma za Afya zinazotolewa na Serikali.


Mratibu wa Chanjo wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Ndugu. John Faustin amesema zoezi hili litafanyika kuanzia tarehe01 Mei 2025 huku akiendelea kuwahimiza Wazazi na walezi kushiriki kikamilifu ili kufanikisha zoezi hili muhimu kwa Afya za Watoto.


Kikao hicho kimehudhuriwa na Wahudumu wa Afya ya Msingi, Viongozi wa dini,Wataalamu wa Halmashauri na Wazee maarufu.



Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU April 08, 2025
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI May 11, 2025
  • KARIBU WATUMISHI WAPYA IDARA YA AFYA-MBULU TC November 12, 2024
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • MAFUNZO KWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NGAZI YA VITUO YAFUNGULIWA MBULU MJI

    May 14, 2025
  • WAFADHILI KUTOKA KOREA WATEMBELEA MBULU MJI NA KUKAGUA UJENZI WA KARAKANA YA UFUNDI KWA VIJANA

    May 13, 2025
  • KAMATI YA SIASA CCM MKOA WA MANYARA YAFANYA ZIARA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU NA KUKAGUA MIRADI

    May 13, 2025
  • MAADHIMISHO YA WAUGUZI MBULU TC YAFANA

    May 12, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.