• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WATAALAMU MBULU TC WASISITIZWAKUHAKIKISHA MIRADI INATOA MATOKEO CHANYA

Posted on: September 25th, 2025

Timu ya Ufuatiliaji wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, ikiongozwa na Mwenyekiti wake Ndugu Dominick Mbwete, leo Septemba 25, 2025, imeendelea na ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri ya Mji wa Mbulu.

Katika kikao cha tathmini na wakuu wa idara pamoja na vitengo, Ndugu Mbwete aliwataka wataalamu kushirikiana kwa karibu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ili kuhakikisha thamani ya fedha zinazotolewa na serikali inaonekana moja kwa moja kwenye ubora na matokeo ya miradi hiyo.

 “Ni wajibu wetu, kama wataalamu, kuunga mkono jitihada za serikali kwa kuhakikisha kila mradi unaotekelezwa unaleta matokeo chanya kwa wananchi. Matokeo hayo yaweze kuonekana kwa kulinganisha fedha zilizotolewa na hadhi ya mradi husika,” alisema Mbwete.

Mbali na hilo, alisisitiza kuwa miradi iliyokamilika inapaswa kuanza kutoa huduma kwa wananchi, hatua ambayo itatimiza malengo ya serikali ya kusogeza huduma karibu na wanachi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Bi. Rehema Bwasi, aliahidi kushughulikia changamoto na dosari zilizojitokeza katika baadhi ya miradi. Aliongeza kuwa ofisi yake itaendelea kuwakumbusha wataalamu kutimiza majukumu yao ipasavyo ili kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo isikwame.

Ziara hiyo ilihusisha ukaguzi wa miradi 19 na kwa ujumla  msisitizo mkubwa wa ziara hii ni kuhakikisha kuwa miradi yote ya maendeleo inakamilika kwa viwango vinavyokidhi thamani ya fedha za umma, sambamba na kutekeleza dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuwaletea wananchi huduma bora na endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU WAMETAKIWA KUWA NA NADHAMU BINAFSI.

    September 26, 2025
  • WALIMU MBULU MJINI WATAKIWA KUWA MABALOZI WA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

    September 26, 2025
  • WALIMU WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    September 26, 2025
  • WATAALAMU MBULU TC WASISITIZWAKUHAKIKISHA MIRADI INATOA MATOKEO CHANYA

    September 25, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.