• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WASIMAMIZI WA VITUO WASISITIZWA KUVIISHI VIAPO

Posted on: October 27th, 2025

WASIMAMIZI WA VITUO NA WASAIDIZI WAO WASISITIZWA KUVIISHI VIAPO


Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Mbulu Mjini, Ndugu Joseph Geheri, ametoa rai kwa Wasimamizi wa Vituo na Wasimamizi Wasaidizi kuhakikisha wanaishi kwa vitendo viapo vyao vya kazi katika kipindi chote cha uchaguzi.


Geheri alitoa kauli hiyo akimuwakilisha Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo, Ndugu Philemon Maffa, wakati wa kufunga mafunzo ya siku mbili (02) kwa Wasimamizi wa Vituo na Wasaidizi wao. Mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.


Akizungumza na washiriki, Ndugu Geheri aliwataka Wasimamizi hao kwenda kutekeleza majukumu yao kwa niaba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa uadilifu na uwajibikaji.


 “Niwakumbushe kuviishi viapo vyetu vya kutunza siri, kufanya kazi kwa uzalendo, na kushirikiana kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu,” alisema Ndugu Geheri.




Aidha, aliwakumbusha washiriki kuzingatia muda wa kufungua na kufunga vituo siku ya uchaguzi, akibainisha kuwa vituo vitafunguliwa saa 1:00 asubuhi na kufungwa saa 10:00 jioni.


Kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo, Ndugu Lawrence Tsino alitoa shukrani kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuwapatia mafunzo yenye manufaa kuelekea uchaguzi huo.


Uchaguzi Mkuu wa kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani unatarajiwa kufanyika siku ya Jumatano, Oktoba 29, 2025.


“KURA YAKO HAKI YAKO JITOKEZE KUPIGA KURA.”b

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO WASISITIZWA KUVIISHI VIAPO

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO JIMBO LA MBULU MJINI WAPATIWA MAFUNZO

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI 274 WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA MBULU MJINI

    October 25, 2025
  • VIONGOZI WA DINI MBULU WAOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 24, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Tamisemi
  • Ikulu
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • Mbulu Tc Facebook
  • Mbulu Town Council WatsApp
  • Mbulu Tc Instagram

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.