• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

WANANCHI MBULU MJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPATIA GARI JIPYA LA KUBEBA WAGONJWA KATIKA KITUO CHA AFYA DAUDI

Posted on: December 31st, 2024


Mbunge wa Jimbo la Mbulu Mjini Mhe. Zacharia Isaay amefanya hafla fupi ya kukabidhi gari la kubeba wagonjwa kwa wananchi wa Tarafa ya Daudi yenye jumla ya Kata 3 (Daudi, Marangw na Bargish)


Akizungumza na Wananchi wa Tarafa hiyo Mhe. Isaay ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia Wananchi gari jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance)


“Niwaambie wananchi wenzangu wa Tarafa hii ya Daudi sisi tumependelewa sana kwani kwa upande wa afya kila sekta imeboreshwa kwa hiyo hatuna budi kutoa

shukrani zetu za Dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upekee wake katika kusaidia sekta hii muhimu ya Afya kwenye Tarafa yetu”.Alisema Mhe.Isaay


Aidha, Mhe.Isaay ameongeza kwa Kuwasisitiza wananchi kwenda kuwa mabalozi kuyasema yale mazuri yote yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya Sita.


Kwa niaba ya Wananchi wengine, Cresent Bura mkazi wa Daudi ametoa shukurani za dhati kwa Serikali ya Awamu ya sita na kuongeza kuwa gari la wagonjwa litapunguza kadhia iliyokuwa ikiwakumba hasa kwa kina mama wajawazito.

Kwa niaba ya Mkurugenzi Ndugu. Gideon Kitoboli ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuboresha huduma za Afya na ametoa shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la Mbulu mjini kwa kuendelea kuwasemea Wananchi wa Jimbo la hilo linalokua kwa kasi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.


Hafla hiyo ya kukabidhi gari la Wagonjwa kwa Tarafa ya Daudi imefanyika katika Kituo cha Afya Daudi kata ya Daudi kijiji cha Moringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA June 02, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • UMITASHUMTA NA UMISETA KURINDIMA IRINGA 2025

    June 02, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA PSSSF

    May 29, 2025
  • MBULU TC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    May 28, 2025
  • MBULU MJI TUNAJIVUNIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU-DT REHEMA BWASI

    May 27, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.