• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

WANANCHI JITOKEZENI KUOMBA MIKOPO

Posted on: October 6th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mbulu Bi. Rehema Bwasi amewaasa wananchi wa Mji wa Mbulu kujitokeza kuomba mikopo iliyotengwa kwa kipindi cha robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2024/25.

Bi. Rehema ametoa rai hiyo mapema leo Jumapili tarehe 6 Oktoba 2024 akizungumza na Wananchi kupitia Redio Habari Njema 87.5 Mhz ambapo amesema kiasi cha Shilingi Milioni 186,000,000/= zimetengwa kwa kipindi cha robo ya pili mwaka wa fedha 2024/2025.

"Kwanza nimshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kurudisha mikopo hii muhimu kwa watanzania ambao hawana kazi rasmi, hii ni fursa kubwa sana kwa Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu"

"Niwasihi makundi tajwa tujitokeze kwani sasahivi tunaendelea na mafunzo kwa Kamati mbalimbali za mikopo ikiwemo zile za Kata, Wilaya na wataalamu kama Watendaji na maafisa Maendeleo hivyo mjitokeze kwa wingi kupitia vikundi ili muweze kupata mikopo hii"

Vikundi vinavyotakiwa kuomba mikopo vinapaswa kuwa na sifa zifuatazo:-

1. Kikundi cha Wanawake, vijana na wenye ulemavu kilichotambuliwa na kupewa cheti cha utambuzi na Halmashauri

2. Kikundi kiwe kinajishughulisha na shughuli za ujasiriamali mdogo, wa kati au kinachotarajia kuanzisha shughuli za ujasiriamali

3. Kikundi cha Wanawake na Vijana kiwe na Idadi watu wasiopungua watano na Kikundi cha watu wenye ulemavu wasipungue wawili

4. Kikundi kiwe na Account Benki iliyofunguliwa kwa jina la kikundi husika

5. Wanakikundi wawe raia wa Tanzania waio na ajira rasmi na wawe na miaka kuanzia 18 hadi 45

Maombi yote yatumwe kupitia mfumo wa kielektorniki (tembelea tovuti: mikopohalmashauri.tamisemi.go.tz) ili kutambuliwa na kuomba mkopo au wasiliana na Afisa Maendeleo ya Jamii wa Kata husika au mtendaji wa Kata husika.

Vilevile kikundi kinapaswa kuwa na barua ya kikundi ya kuomba mkopo iliyopotishwa na Afisa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa, muhtasari wa Kikundi wa kuomba mkopo na andiko rahisi la mradi

Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 20 Oktoba, 2024

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA June 02, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • UMITASHUMTA NA UMISETA KURINDIMA IRINGA 2025

    June 02, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA PSSSF

    May 29, 2025
  • MBULU TC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    May 28, 2025
  • MBULU MJI TUNAJIVUNIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU-DT REHEMA BWASI

    May 27, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.