• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WALIMU WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: September 26th, 2025

WALIMU WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SHULENI


Ili kuimarisha ufanisi na uwajibikaji katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo shuleni Septemba 26,2025 Halmashauri ya Mji wa Mbulu imeendesha mafunzo elekezi kwa Walimu mafunzo ambayo yalienda sambamba na hafla ya pongezi kwa shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya wanafunzi.


Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo Walimu kuhusu usimamizi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa shuleni, hususan katika maeneo ya manunuzi, ujenzi na ukaguzi, ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa ubora unaoendana na thamani ya fedha za umma.


Akizungumza katika mafunzo hayo, Afisa Manunuzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Bi. Marcelina Saura, amewataka walimu kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za ununuzi wa umma (PPRA) wakati wa utekelezaji wa miradi, akisisitiza kuwa ufuataji wa taratibu hizo ni nguzo muhimu ya uwazi na uwajibikaji katika matumizi ya fedha za serikali.


Kwa upande wake, Mhandisi wa Halmashauri, Ndugu Andrew Magesa, amehimiza ushirikishwaji wa kamati husika katika kila hatua ya utekelezaji wa miradi ili kuongeza uwazi na umiliki wa jamii. Ameongeza kuwa ni muhimu vifaa vyote vya ujenzi vikaguliwe na wataalamu kabla ya matumizi, ili kuepuka upotevu wa rasilimali na kuhakikisha ubora wa miundombinu inayojengwa.


Naye Mkaguzi wa Ndani, Bi. Tumaini Mwangatwa, amekumbusha Walimu kuwa wanapaswa kusimamia kikamilifu miradi wanayopewa dhamana ya kuitekeleza, kuhakikisha kuwa thamani ya mradi inaendana na fedha zilizotolewa na serikali, hatua itakayosaidia kujenga imani ya wananchi na kuimarisha uadilifu katika matumizi ya rasilimali za umma.


Akihitimisha mafunzo hayo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Bi. Rehema Bwasi, amewapongeza Walimu kwa mafanikio waliyopata katika sekta ya elimu na kuwasisitiza kutumia elimu waliyoipata kwenye mafunzo hayo katika kusimamia miradi kwa weledi, ubunifu na uadilifu, ili kuhakikisha miradi yote inatekelezwa kwa ubora unaoendana na viwango vya serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU WAMETAKIWA KUWA NA NADHAMU BINAFSI.

    September 26, 2025
  • WALIMU MBULU MJINI WATAKIWA KUWA MABALOZI WA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

    September 26, 2025
  • WALIMU WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    September 26, 2025
  • WATAALAMU MBULU TC WASISITIZWAKUHAKIKISHA MIRADI INATOA MATOKEO CHANYA

    September 25, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.