• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WALIMU MBULU MJINI WATAKIWA KUWA MABALOZI WA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Posted on: September 26th, 2025


Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari katika Halmashauri ya Mji wa Mbulu wametakiwa kuwa mabalozi wa mapambano dhidi ya rushwa kwa kuelimisha jamii na kuzingatia maadili ya uadilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo mashuleni.


Wito huo umetolewa leo Septemba 26, 2025, na Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Mbulu, Ndugu Lawrence Mlaponi, wakati wa hafla ya kuwapongeza walimu kwa ufaulu mzuri wa wanafunzi kwa mwaka 2024.


Akizungumza katika hafla hiyo, Ndugu Mlaponi alisema rushwa imeendelea kuwa kikwazo kikubwa katika kufanikisha miradi ya maendeleo, hivyo walimu wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu na kuwa mfano wa kuigwa katika kuzuia vitendo hivyo.


“Nendeni mkawe mabalozi wa mapambano dhidi ya rushwa kwa kuwaelimisha wengine kuhusu madhara yake. Kumbukeni, rushwa inasababisha serikali kushindwa kufikia malengo yake ya kuwaletea wananchi maendeleo,” alisema Ndugu Mlaponi.



Aidha, alisisitiza kuwa miradi yote ya maendeleo inapaswa kusimamiwa kwa karibu ili kuhakikisha inatekelezwa kwa ubora unaostahili na thamani halisi ya fedha zinazotolewa.


“Wataalamu wa sekta mbalimbali wanapaswa kufuatilia kwa ukaribu miradi inayoendelea ili kuhakikisha ubora unazingatiwa kulingana na miongozo na taratibu zilizowekwa,” aliongeza Mlaponi.



Sambamba na hayo, amekumbusha umuhimu wa kuzingatia misingi ya ushirikishwaji wa wananchi, uwazi na uwajibikaji katika utekelezaji wa miradi, akibainisha kuwa ushiriki wa jamii ni nguzo muhimu katika kuhakikisha miradi inakuwa endelevu na yenye manufaa kwa wananchi wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU WAMETAKIWA KUWA NA NADHAMU BINAFSI.

    September 26, 2025
  • WALIMU MBULU MJINI WATAKIWA KUWA MABALOZI WA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

    September 26, 2025
  • WALIMU WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    September 26, 2025
  • WATAALAMU MBULU TC WASISITIZWAKUHAKIKISHA MIRADI INATOA MATOKEO CHANYA

    September 25, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.