• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

VIJANA WAMETAKIWA KUJITAMBUA NA KUSHIRIKIANA KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Posted on: June 6th, 2025


Kuelekea Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, leo Juni 6,2025 Halmashauri ya Mji wa Mbulu imefanya Kongamano maalumu lililojumuisha zaidi ya Vijana 300 lenye lengo la kuwapa mafunzo ikiwemo kueleza Stadi mbalimbali za Maisha.


Akizungumza katika ufunguzi wa Kongamano la Vijana Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Michael Semindu amewataka vijana hao kujitambua na kushirikiana katika masuala yote ya maendeleo ili kuinuana kiuchumi.


“Naomba nitumie wasaa huu kuwakumbusha vijana kuwa Safari ya Mafanikio ni Mchakato hivyo ni jukumu letu sote kuendelea kuelimishana juu ya maisha yetu ya kila siku”.Alisema Mhe.Semindu


Sambamba na Hayo ameongeza kwa kuwasisitiza vijana kushiriki Mbio za Mwenge wa uhuru 2025 na kuelewa jumbe mbalimbali zilizobebwa na Mwenge wa uhuru 2025.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Bi. Rehema Bwasi amewasisitiza vijana kuzingatia mafunzo yatakayo tolewa na Kwenda kuwa balozi kwa vijana mbalimbali ili kuweza kusaidiana katika maisha ya kila siku.


Kongamano hilo limehusisha vijana kutoka chuo cha uuguzi Mbulu, chuo cha maendeleo ya Wananchi Tango, Shule na sekondari Genda na Gehandu


Kaulimbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 inasema “Jitokeze kushiriki uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025,kwa amani na utulivu”

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA MBULU IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI ITAKAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU.

    June 12, 2025
  • WATUMISHI MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA E-UTENDAJI.

    June 11, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA IMBORU WAPATIWA ELIMU JAMII KUHUSU MAISHA YA KILA SIKU

    June 09, 2025
  • WANANCHI KATA YA IMBORU WAPATIWA ELIMU JAMII.

    June 09, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.