• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

MKUU WA MKOA WA MANYARA ALEXANDER P. MNYETI AWAPONGEZA WATENDAJI WA MBULU MJI

Posted on: October 23rd, 2019

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Alexander Pastory Mnyeti amewapongeza viongozi wa Wilaya ya Mbulu wakiongozwa na DC wao Chelestino Simbalimile Mofuga kwa namna wanavyowatumikia wananchi hadi kupunguza kero kila mahali anapopita kwenye mikutano yake anakutana na changamoto chache.

Mnyeti akizungumza na wananchi wa Mbulu mjini amesema viongozi wa wilaya hiyo wamejitahidi kupunguza kero za maeneo inayowazunguka hadi yeye wanampunguzia kazi katika eneo hilo. 

“Jana nilipita Kainam na kuzungumza na wananchi baada ya kukagua mabweni ya wasichana kwenye shule ya sekondari kisha nikaenda Hhaynu nikaweka jiwe la msingi la shule ya sekondari na kuzungumza na wananchi ambapo watu wawili walijitokeza kutoa kero,” alisema Mnyeti. 

Alisema watu hao walizungumzia barabara na umeme hivyo kudhihirisha kuwa viongozi wa Mbulu wanawatembelea wananchi na kusikiliza kero zao. 

“Nimefika Tlawi jana na leo nimekwenda Qatesh, Titiwi, Gehandu na Gedamar huko kero za wananchi ni chache na hapa Mbulu mjini watu watatu wamejitokeza kutoa kero hapa mmeonyesha kazi imefanyika,” alisema Mnyeti. 

Aliwapongeza Mofuga, Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Sarah Sanga, Mkurugenzi wa Mji wa Mbulu Anna Mbogo na viongozi wengine wa eneo hilo kwa kutatua migogoro, kero na changamoto za wananchi. 

Mkuu wa wilaya ya Mbulu Mofuga alishukuru kwa hatua hiyo ya kutambuliwa kazi nzuri wanayofanya kwani kila alhamisi wametenga kukutana na wananchi wenye matatizo ofisini kwake na pia kuwatembelea kwenye maeneo yao. 

“Tutahakikisha jamii inasaidiwa kwenye kutatuliwa kero zao ili kuhakikisha wananchi wanaipenda serikali yao inayoongozwa na Rais John Magufuli,” alisema Mofuga. 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WANANCHI TUTUMIENI FURSA YA KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA-RC SENDIGA

    December 16, 2025
  • MADIWANI WASISITIZWA KUZINGATIA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA KATIKA UTENDAJI

    December 04, 2025
  • “SHIRIKIANENI NA WATAALAMU KUHAKIKISHA MIRADI VIPORO INAKAMILIKA NA KUANZA KUTOA HUDUMA”

    December 03, 2025
  • MADIWANI WAMPONGEZA MKURUGENZI KWA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA HALMASHAURI

    December 03, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Tamisemi
  • Ikulu
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • Mbulu Tc Facebook
  • Mbulu Town Council WatsApp
  • Mbulu Tc Instagram

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.