• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

MITI 500 YAPANDWA KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MAADHIMISHO MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Posted on: April 25th, 2025

Kuelekea Maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Wananchi Wilayani Mbulu Mkoani Manyara wametakiwa kuenzi juhudi zilizofanywa na Waasisi wa Muungano huo

Wito huo umetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu Ndugu Paulo Bura akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbulu leo Aprili 25,2025 katika Zoezi la upandaji wa miti katika Shule ya Sekondari Isale ikiwa ni ishara ya kuenzi mambo yaliyofanywa na waasisi wa Muungano.

“Sherehe hizi za maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano zinatupa taswira ya tulikotoka, tulipo na tuendako hivyo basi ni jukumu letu ni kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali ya Muungano wa Tanzania.”Alisema Ndugu. Bura


Sambamba na hayo Ndugu. Bura ameeleza kuwa lengo la serikali ni kusogeza huduma karibu na wananchi na amewasisitiza Wananchi kuendelea kutunza miundombinu ambayo serikali imetoa fedha nyingi.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mhe. Peter Sulle ameishukuru Serikali kwa kuendelea kusogeza huduma karibu na wananchi,amesema kumekuwa na maendeleo makubwa mpaka kufikia miaka 61 ya Muungano.

Jumla ya miti mia tano (500) ya mbao, matunda, urembo na kivuli imepandwa na Watumishi wa Wilaya ya Mbulu, Wanafunzi, yombo vya Usalama vya Wilaya na Wananchi katika Shule ya Sekondari Isale.

Zoezi la upandaji miti limetanguliwa na maandamano ya Awamu yaliyoongozwa na Vyombo vya usalama vya Wilaya ya Mbulu ikiwemo magereza,Polisi na uhamiaji.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU April 08, 2025
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI May 11, 2025
  • KARIBU WATUMISHI WAPYA IDARA YA AFYA-MBULU TC November 12, 2024
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • MAFUNZO KWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NGAZI YA VITUO YAFUNGULIWA MBULU MJI

    May 14, 2025
  • WAFADHILI KUTOKA KOREA WATEMBELEA MBULU MJI NA KUKAGUA UJENZI WA KARAKANA YA UFUNDI KWA VIJANA

    May 13, 2025
  • KAMATI YA SIASA CCM MKOA WA MANYARA YAFANYA ZIARA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU NA KUKAGUA MIRADI

    May 13, 2025
  • MAADHIMISHO YA WAUGUZI MBULU TC YAFANA

    May 12, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.