• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

MASHINDANO YA UMISSETA NA UMISHUMTA YAZINDULIWA RASMI MKOANI IRINGA.

Posted on: June 9th, 2025

Uzinduzi wa mashindano ya Umitashumta na Umisseta Mkoa Iringa 2025.yenye kauli mbiu isemayo

" Viongozi Bora ni msingi wa Maendeleo ya Taaluma sanaa na michezo, Shiriki uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na utulivu.


Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amefungua Rasmi mashindano ya Umitashumta na Ummisseta yanayojumuisha Mikoa yote 26 Nchini ,Katika uzinduzi huo ameipongeza Ofisi ya Rais Tamisemi na Wizara ya Habari kuendelea kuhakikisha michezo inafanyika kila mwaka ,pia ameupongeza Uongozi wa Mkoa wa Iringa kwa maandalizi mazuri ya viwanja na malazi.


Mhe. Majaliwa amesema kuwa kauli mbiu imebeba ujumbe mzuri unaohamasisha michezo na shughuli za maendeleo na  amewataka wanamichezo kuonesha umahiri katika michezo ili michezo iwe na tija kwenye maisha yao katika  kujenga Afya, kuepuka ulevi, madawa ya kulevya,utoro shuleni, kupata ajira na kuongeza  mapato.


Aidha ameeleza kuwa Serikali inaendelea kuimarisha mikakati ya michezo ambapo takribani bilioni 11 zimetengwa  kuimarisha miundombinu ya michezo katika Shule 10  Nchini, billioni 32 zimetengwa  kuimarisha Chuo Cha Malya ambacho kitakuwa kikubwa Afrika Mashariki kwa ajili ya kuandaa wanamichezo, mfuko wa Maendeleo ya michezo kwa ajili ya kuendeleza vipaji,pia

Serikali imejipanga kufundisha kwa nadharia na kwa vitendo michezo.


"Vyama vya michezo mlete wataalamu katika mashindano haya ili waweze kuibua wanamichezo, ameeleza.


Pia amewataka  Wakurugenzi wa Halmashauri zote kuhakikisha Walimu wa michezo wanapata mafunzo yanapotokea, pia maeneo yaliyowazi kutumika kwa ajili ya matumizi ya michezo
Wizara ya Utamaduni kutoa vibali kwa Shule binafsi vya uendelezaji wa vipaji , watanzania wote kufanya mazoezi kwa ajili ya kuimarisha Afya.

Sambamba na hilo amewataka wananchi kushiriki uchaguzi kwa Amani na utulivu kwa kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na wa haki

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa Iringa Mhe. Peter Serukamba amewakaribisha wanamichezo wote na  ameeleza kuwa hali ya ulinzi na usalama  Mkoa wa Iringa ni shwari.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • WATUMISHI MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA E-UTENDAJI.

    June 11, 2025
  • WANANCHI WA KATA YA IMBORU WAPATIWA ELIMU JAMII KUHUSU MAISHA YA KILA SIKU

    June 09, 2025
  • WANANCHI KATA YA IMBORU WAPATIWA ELIMU JAMII.

    June 09, 2025
  • MASHINDANO YA UMISSETA NA UMISHUMTA YAZINDULIWA RASMI MKOANI IRINGA.

    June 09, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.