• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

MASHINDANO YA UMISSETA NA UMISHUMTA YAZINDULIWA RASMI MKOANI IRINGA.

Posted on: June 9th, 2025

Uzinduzi wa mashindano ya Umitashumta na Umisseta Mkoa Iringa 2025.yenye kauli mbiu isemayo

" Viongozi Bora ni msingi wa Maendeleo ya Taaluma sanaa na michezo, Shiriki uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na utulivu.


Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amefungua Rasmi mashindano ya Umitashumta na Ummisseta yanayojumuisha Mikoa yote 26 Nchini ,Katika uzinduzi huo ameipongeza Ofisi ya Rais Tamisemi na Wizara ya Habari kuendelea kuhakikisha michezo inafanyika kila mwaka ,pia ameupongeza Uongozi wa Mkoa wa Iringa kwa maandalizi mazuri ya viwanja na malazi.


Mhe. Majaliwa amesema kuwa kauli mbiu imebeba ujumbe mzuri unaohamasisha michezo na shughuli za maendeleo na  amewataka wanamichezo kuonesha umahiri katika michezo ili michezo iwe na tija kwenye maisha yao katika  kujenga Afya, kuepuka ulevi, madawa ya kulevya,utoro shuleni, kupata ajira na kuongeza  mapato.


Aidha ameeleza kuwa Serikali inaendelea kuimarisha mikakati ya michezo ambapo takribani bilioni 11 zimetengwa  kuimarisha miundombinu ya michezo katika Shule 10  Nchini, billioni 32 zimetengwa  kuimarisha Chuo Cha Malya ambacho kitakuwa kikubwa Afrika Mashariki kwa ajili ya kuandaa wanamichezo, mfuko wa Maendeleo ya michezo kwa ajili ya kuendeleza vipaji,pia

Serikali imejipanga kufundisha kwa nadharia na kwa vitendo michezo.


"Vyama vya michezo mlete wataalamu katika mashindano haya ili waweze kuibua wanamichezo, ameeleza.


Pia amewataka  Wakurugenzi wa Halmashauri zote kuhakikisha Walimu wa michezo wanapata mafunzo yanapotokea, pia maeneo yaliyowazi kutumika kwa ajili ya matumizi ya michezo
Wizara ya Utamaduni kutoa vibali kwa Shule binafsi vya uendelezaji wa vipaji , watanzania wote kufanya mazoezi kwa ajili ya kuimarisha Afya.

Sambamba na hilo amewataka wananchi kushiriki uchaguzi kwa Amani na utulivu kwa kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na wa haki

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa Iringa Mhe. Peter Serukamba amewakaribisha wanamichezo wote na  ameeleza kuwa hali ya ulinzi na usalama  Mkoa wa Iringa ni shwari.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO WASISITIZWA KUVIISHI VIAPO

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO JIMBO LA MBULU MJINI WAPATIWA MAFUNZO

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI 274 WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA MBULU MJINI

    October 25, 2025
  • VIONGOZI WA DINI MBULU WAOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 24, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Tamisemi
  • Ikulu
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • Mbulu Tc Facebook
  • Mbulu Town Council WatsApp
  • Mbulu Tc Instagram

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.