• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

MAAFISA HABARI NCHINI WAASWA KUTOA HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI

Posted on: May 23rd, 2025

Maafisa Habari Nchini wameaswa kutoa habari na taarifa sahihi kwa Jamii inayowazunguka kwa wakati ili kuwa na Jamii inayoelewa masuala yanayohusu maendeleo yanayofanyika Nchini

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe Mohamed O. Mchengerwa(Mb) Leo Mei 23, 2025 wakati akifungua Kikao Kazi cha Maafisa Habari wa Mikoa, Halmashauri na Taasisi za Ofisi ya Rais TAMISEMI katika Ukumbi wa Mikutano Dodoma Jiji ulipo Mji wa Serikali Mtumba.


Katika Kikao Kazi hicho Mhe. Mchengerwa amewataka Maafisa Habari Nchini kutoa taarifa sahihi ya yale yanaoyoendelea kwenye maeneo yao.


“ Ninyi ni nguzo ya maamuzi ya kuwalisha watanzania ya kile kinachoendelea katika maeneo yenu kwani Maafisa Habari mnayo dhamana kubwa ya kuhakikisha kuwa wananchi wanapata haki yao ya msingi ya kupata taarifa sahihi na kwa wakati.” Amesema Mhe Mchengerwa.


Aidha amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI ni Wizara inayobeba karibu 21% ya Bajeti Kuu ya Serikali ambapo kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Ofisi ya Rais TAMISEMI imepitishiwa bajeti ya Shilingi 11,782,984,202,000.00 ambazo zinakwenda kutekeleza miradi kwenye Taasisi, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.


Pamoja na hayo Mhe Mchengerwa amewataka Maafisa Habari kuweka Uzalendo mbele katika kuisemea miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa katika maeneo yao kwani fedha nyingi za maendeleo zinapelekwa huko ili kuboresha huduma za Afya, Miundombinu ya Barabara, Elimu, Umeme, Mawasiliano, n.k


Kikao hicho kitafanyika kwa siku mbili ambapo Maafisa Habari kote Nchini wamekutana kuendelea kubadilishana uzoefu namna bora ya kuzitangaza kazi za Serikali katika maeneo yao.


Miongoni mwa Halmashauri zilizoshiriki Kikao Kazi hicho kutoka Mkoa wa Manyara ni pamoja na Halmashauri ya Mji wa mbulu, Babati, Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Kiteto, Babati na Hanang.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • MWENGE WA UHURU 2O25 WARIDHISHWA NA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO MBULU TC

    July 16, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KUTEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 44.3 WILAYANI MBULU

    July 16, 2025
  • WANANCHI WASISITIZWA KUWA MSTARI WA MBELE UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU.

    July 10, 2025
  • WATENDAJI WAHIMIZA KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI KWA WANAFUNZI.

    July 08, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.