• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA MBULU IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI ITAKAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU.

Posted on: June 12th, 2025

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Mbulu ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe.Michael Semindu imefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025.


Akizungumza katika ziara hiyo Mhe.Semindu amewasisitiza Wataalamu kuendelea kufanya maandalizi kwaajili ya kupokea Mwenge wa uhuru.


"Kila mmoja kwa nafasi yake aendelee kuwajibika ipasavyo katika maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025, ushirikiano ndicho kitu pekee kitatufanya kukamilishe maandalizi yetu".alisema Mhe.Semindu


Kwa upande wake mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Bi.Rehema Bwasi ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano ili kufanikisha maandalizi ya Mbio za Mwenge wa uhuru.


Miradi iliyotembelewa ni mradi wa Daraja la kamba kijiji cha Tsawa,Mradi wa maji kata ya Uhuru,Mradi wa Shule mpya ya Sekondari ya  Amali Gunyoda,Hoteli ya mwananchi,Mradi wa matumizi ya Nishati safi ya kupikia chuo cha maendeleo ya Wananchi Tango,Ujenzi wa uzio wa Bweni la Wanafunzi wa kike wenye mahitaji maalumu katika shule ya Msingi Endagkot,Jengo la Mama na mtoto katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Kikundi cha vijana(Sankara group) 10%.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA NGAZI ZOTE MBULU TC WAMAETAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA UTOAJI WA TAARIFA ZA VITENDO VYA UKATILI

    June 30, 2025
  • MHE.SEMINDU AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    June 26, 2025
  • WATUMISHI MBULU TC WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA MATUMIZI YA E-UTENDAJI.

    June 23, 2025
  • TUZO YA PONGEZI MBULU TC

    June 20, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.