• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

DC KESSY AWATAKA WANANCHI KUPUNGUZA ULEVI WAKATI WA KAZI

Posted on: November 14th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Veronica Kessy amewataka Wananchi wa Mbulu kupunguza ulevi huku watendaji wakitakiwa kuhakikisha wananchi wanafanya shughuli zinazowaingizia kipato

Mhe. Kessy amesema baadhi ya wananchi wamekuwa walevi kupindukia muda wa kazi na kushindwa kufanya shughuli za kiuchumi zinazoweza kuwaingizia kipato


Akizungunza kwenye kikao cha Kamati ya ushauri ya Wilaya leo Novemba 14,2024 amesema jamii inapaswa kufanya kazi kwa bidii na pombe zinywewe baada ya masaa ya kazi na kuwataka watendaji wa Kata kusimamia zoezi hilo.

“Baadhi ya wananchi hapa Mbulu Mjini na Mbulu Vijijini wanakunywa pombe kali hata ambazo zinawafanya walewe masaa ya kazi na hawawezi tena kufanya kazi, hakikisheni vilabu vya pombe vinafunguliwa baada ya muda wa kazi na kuwakamata wote wanaovunja sheria na wafikishwe kwenye mamlaka zinazohusika” Amesisitiza Mhe.Kessy

Sambamba na hayo amewasisitiza watendaji hao kuhakikisha mazingira yanakuwa safi katika maeneo yote ili kuweka Mitaa, Vitongoji na Vijiji safi na salama wakati wote ili kuepuka magonjwa ya mlipuko yanayoweza kuepukika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA-KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025

    September 09, 2025
  • TUMIENI FURSA YA ELIMU YA WATU WAZIMA KUEPUKA UTEGEMEZI-MHE. SENDIGA

    September 04, 2025
  • WAFUGAJI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU KUNUFAIKA RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO.

    August 28, 2025
  • WATUMISHI KUTENGEWA BAJETI YA KUTOSHA ILI KUSHIRIKI MASHINDANO YA SHIMISEMITA.

    August 23, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.