• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

BODI YA AFYA MBULU TC WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO BABATI TC

Posted on: December 30th, 2024

Bodi ya Afya Halmashauri ya Mji wa Mbulu imefanya ziara ya siku moja Halmashauri ya Mji wa Babati kujifunza namna bora ya utoaji wa huduma kwa Wananchi ikiwemo wagonjwa wanaopata huduma kwa msamaha pamoja na upatikanaji wa Dawa katika maeneo ya utoaji wa huduma za Afya.


Mwenyekiti wa Bodi hiyo Silvester Ombay ameongoza ziara hiyo akiwa ameambatana na wajumbe wa Bodi, ambapo ametoa pongezi kwa Bodi ya Afya Halmashauri ya Mji wa Babati kwa namna ilivyofanikiwa kutoa huduma bora za Afya kwa Wananchi na kuongeza kuwa watakwenda kuyafanyia kazi mazuri yote waliyoyaona


"Huduma za Usafi na utoaji wa huduma za Afya katika Mji huu zimeturidhisha sana, tunakwenda kuyafanyia kazi na pale tulipokuwa tunaenda kinyuma au taratibu basi tutakwenda kurekebisha ili tuweze kutoa huduma bora zaidi kwa wananchi wa Mbulu". Alisema Bw.Ombay


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Bi. Rehema Bwasi baada ya ziara hiyo amesema bodi imejifunza mambo mengi ya msingi ambayo yatakwenda kubadilisha utoaji wa huduma hiyo katika Halmashauri ya Mji wa Mbulu na kufikia lengo la Serikali inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kutoa huduma bora kwa kila mwananchi.


"Lengo la Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais ni kuboresha huduma zote muhimu kwa wananchi ikiwemo sekta ya Afya ambayo ndio kipaumbele muhimu zaidi kulinda Afya za Watanzania wakiwemo wana Mbulu, lakini hali ya Mazingira kuwa safi katika mji huu wa Babati wakati wote, hivyo haya tuliyojifunza tunakwenda kuyatekeleza na wataalamu wetu chini ya usimamizi wa bodi hii". Aliongeza Bwasi

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Mbulu Ndugu.Paulo Bura amesema kufuatia ziara hiyo muhimu kufanyika leo, Wilaya ya Mbulu itaendelea kujikita zaidi katika kutoa elimu kwa wananchi namna ya kutunza Mazingira na watalaamu wa Afya kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi pamoja na makundi maalumu wakiwemo Wazee, wanawake na watoto.


Mganga Mfawidhi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Dr. Gilliard Lupembe amesema mafanikio yaliyofikiwa mpaka sasa katika utoaji wa huduma zilizo bora katika Mji na Hospitali hiyo ni Watalaamu kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kuzingatia Sheria, taratibu za utoaji huduma na utu kwa wagonjwa.



Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA June 02, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • UMITASHUMTA NA UMISETA KURINDIMA IRINGA 2025

    June 02, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA PSSSF

    May 29, 2025
  • MBULU TC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    May 28, 2025
  • MBULU MJI TUNAJIVUNIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU-DT REHEMA BWASI

    May 27, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.