• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

BARAZA LA MADIWANI MBULU TC LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA BILIONI 28.3 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Posted on: January 30th, 2025


Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji wa Mbulu likiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Peter Sulle Januari 29, 2025, limepitisha rasimu ya Mpango wa bajeti ya Shilingi Bilioni 28.3 kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026, kikao hicho maalumu kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa mbulu.


Akiwasilisha bajeti hiyo kwaniaba ya Mkurugenzi Afisa Mipango Ndugu. Ally Msangi alieleza kuwa mapendekezo ya bajeti yameandaliwa kwa kuzingatia vipaombele ikiwemo Miradi Viporo,Mikopo ya Vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu,masuala mazima ya watumishi na mambo mengine yote yanayohusu Halmashauri kulingana na bajeti.


Kwa niaba ya Waheshimiwa Madiwani wengine akiwemo Diwani wa kata ya Kainam Mhe.Emmanuel Malley, Diwani wa kata ya Imboru Mhe. Basili Gwawu, Diwani wa kata ya Daudi Mhe. Peter Golis na Diwani wa Kata ya Gunyoda Mhe. Juliana Musso wametoa pongezi kwa timu nzima ya wataalamu wa Halmashauri kwa maandalizi ya bajeti ambayo imewagusa miradi ya maendeleo ya wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kwa asimilia kubwa.

Sambamba na hayo wamesisitiza ushirikiano wa karibu kati ya madiwani na wataalamu ili kuendelea kuimarisha vyanzo vya mapato na kuendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kufikia malengo.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mhe. Peter Sulle alihitimisha Mkutano huo kwa kuwasisitiza Wataalamu kuendelea kusimamia miradi ya maendeleo ili kutimiza malengo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuwasogezea wananchi huduma muhimu za kijamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WATAALAMU WA AFYA WAMETAKIWA KUZINGATIA TARATIBU KUWAHUDUMIA WATOTO NJITI.

    July 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2O25 WARIDHISHWA NA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO MBULU TC

    July 16, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KUTEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 44.3 WILAYANI MBULU

    July 16, 2025
  • WANANCHI WASISITIZWA KUWA MSTARI WA MBELE UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU.

    July 10, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.