• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Mbulu Mjini Bi.Anna P. Mbogo amefungua rasmi Mafunzo ya siku mbili (2) ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga kura jimbo la Mbulu Mjini kwa Waandishi wasaidizi na BVR Operators leo tarehe 28.07.2019.

Posted on: July 28th, 2019

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Mbulu Mjini Bi. Anna P. Mbogo ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, amefungua rasmi Mafunzo ya siku mbili (2) ya Uboreshaji wa daftari la wapiga kura Jimbo la Mbulu Mjini kwa Waandishi wasaidizi na BVR Operators leo tarehe 28.07.2019 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Chief Sarwatt.

Zoezi hili la uandikishaji katika Jimbo la Mbulu Mjini litaanza tarehe 31.07.2019 hadi 06.08.2019 kwa kata zote 85 za Jimbo la uchaguzi Mbulu Mjini.

 

WALENGWA WA ZOEZI LA UANDIKISHAJI 

Watanzania wote walioandikishwa kuwa Wapiga Kura hapo awali ambao wamehama Kata, waliopoteza au Kadi zao kuharibika, na wote wanaotaka kuboresha taarifa zao.

Watanzania wote wenye sifa za kuandikishwa kuwa Wapiga Kura na ambao kwa sababu moja au nyingine hawakuandikishwa hapo awali.

Watanzania watakaotimiza umri wa miaka 18 ifikapo siku ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020

Pia kuwaondoa wale ambao hawana sifa kama vile watu waliofariki.

AGIZO KWA WATAALAMU WANAOHUSIKA NA UBORESHAJI WA DAFTARI HILI. 

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Mbulu Mjini Bi. Anna P. Mbogo amewaasa kuheshimu sana masuala yote yanayohusu uchaguzi kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi.

 Amesisitiza wahusika wote wa zoezi la uandikishaji wapiga kura wafanye kazi kwa ushirikiano, bidii na weledi, pia kukaa katika kituo husika muda wote ili kufanikisha zoezi hili la uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Aliongeza kuwa wale ambao ni wazoefu basi wasifikiri wanajua kila kitu bali watumie fursa hii ya kuongeza ujuzi zaidi kisha wawe chachu ya utendaji kazi wenye matokeo chanya kwa Jimbo letu la Kiteto.

UHAMASISHAJI.

Kamati ya uhamasishaji zoezi hili litatoa matangazo kwenye mbao za matangazo, radio, na kutumia magari ya Matangazo yatakayopita kila mtaa/kijiji/kitongoji ili kuwasisitiza wananchi wajitokeze kwa wingi katika uborehsji huu. Suala la uhamasishaji ni la msingi na litafanywa katika Jimbo lote la Mbulu Mjini.

Aliongeza pia Wasimamizi wasaidizi ngazi ya Kata washiriki ipasavyo katika kuhamasisha na kutoa elimu kwa wananchi kwa kila kata ili kuwezesha zoezi hili lifanyike kwa ufanisi na weledi mkubwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA June 02, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • UMITASHUMTA NA UMISETA KURINDIMA IRINGA 2025

    June 02, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA PSSSF

    May 29, 2025
  • MBULU TC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    May 28, 2025
  • MBULU MJI TUNAJIVUNIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU-DT REHEMA BWASI

    May 27, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.