• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Human Resource and Administration
      • Finance and Accounts
      • Secondary Education
      • Primary Education
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Internal Audit
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

MWENGE WA UHURU

Tuesday 16th, August 2022
@HALMASHAURI YA MJI WA MBULU


Mwenge wa uhuru uliwashwa kwa mara ya kwanza juu ya kilele cha mlima Kilimanjaro mwaka 1961. Mwenge huu unamulika ndani na nje ya mipaka ili kuleta matumaini pale ambapo kuna kukata tamaa, upendo pale kwenye chuki na heshima pale kwenye dharau. kila mwaka kuna mbio za mwenge zinazoanzia kwenye mikoa tofauti kuwakumbusha watanzania jukumu lao la kulinda umoja na amani ambavyo vimekuepo na kudumu. Halmashauri ya mji wa Mbulu umepokea Mwenge wa Uhuru tarehe 19/06 kata ya Tlawi, kitongoji cha Guneneda kutoka katika mikono ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu. Mwenge huo ukiongozwa na wakimbiza Mwenge sita (6), akiwemo;SAHILI NYANZABARA GERARUMA(NJOMBE), EMMANUEL NDEGE CHACHA(KAGERA), ZADIDA ABDALLAH RASHID(ZANZIBAR), RODRICK ROMWARD NDYAMUKAMA(MWANZA), ALI JUMA ALI na GLORIA FESTO PETER(SINGIDA). Halmashauri ya Mji wa Mbulu ulikimbiza mwenge Mwenge kilomita 113.3 na kuzindua miradi mitano ikiwemo barabara ya Lami(jiwe la msingi), mradi wa vijana(uzinduzi), tenki la maji,Qalieda(jiwe la msingi), madarasa mawili ya Nowu(uzinduzi) na kituo cha afya kainam( jiwe la msingi). Miradi hiyo imekuwa na thamani ya 1,686,780,737.86 fedha za kitanzania. Na kukabidhi Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Arusha tarehe 20/06.

Imeandaliwa na; Namnyack Mollel

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA 2022 July 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI III JOPO LA TATU 17/07/22 July 17, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2021 YAMETANGAZWA RASMI. January 15, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI WA VIJIJI III JOPO LA PILI 16/07/2022 July 16, 2022
  • Ona zote

Habari mpya

  • Bashunga aahidi kusimamia uwekaji wa mazingira wezeshi kwa Wafanyabiashara

    June 11, 2022
  • MAADHIMISHO YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR HALMASHAURI YA MJI WA MBULU

    April 26, 2022
  • Maadhimisho ya siku ya Wanamke Duniani.

    March 07, 2022
  • ZIARA YA NAIBU WAZIRI WIZARA YA HABARI,MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI

    January 20, 2022
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ujenzi

    Anuani: P.O Box 164 Mbulu

    Simu: +255 272 2533331

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: td@mbulutc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.