• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WANAOPATA CHAKULA SHULE YA MSINGI WAAMA WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 83.

Posted on: August 22nd, 2025

Idadi ya wanafunzi wanaopatiwa huduma ya chakula katika Shule ya Msingi Waama imeongezeka kwa asilimia 83, kutoka wanafunzi 56 hadi 103 kuanzia darasa la 3 hadi la 7. Wanafunzi hao wanajumuisha wavulana (ME) 43 na wasichana (KE) 63.


Ongezeko hilo limetokana na Operesheni inayoendelea ya Watendaji wa Kata ya Uhuru katika Mitaa ya Buwa, Ayalabe, Maringo na Ayaraat, yenye lengo la kuhakikisha upatikanaji wa chakula shuleni na kuhamasisha wazazi kushiriki kikamilifu katika suala la lishe kwa watoto.


Kupitia operesheni hiyo, baadhi ya wazazi na walezi wameitikia mwito wa shule kwa kupeleka chakula  kama walivyokubaliana, ikiwemo debe mbili za mahindi na kilo 15 za maharagwe kwa kila mwanafunzi.


Watendaji hao pia wamekagua ubora wa chakula kinachopikwa na kuliwa na wanafunzi na kubaini kuwa ni salama na bora kwa afya ya binadamu, tofauti na malalamiko yaliyokuwa yakitolewa awali na baadhi ya wazazi.


Takwimu zinaonyesha kuwa kufikia tarehe 21/08/2025 shule imepokea jumla ya magunia 30 ya mahindi, magunia 6 na debe 3 za maharagwe.


Msimamizi wa chakula shuleni hapo,  Mwalimu Dorothea Gupchu, amesema kwamba  ongezeko la wanafunzi wanaopata chakula limeonesha mwamko mkubwa wa wazazi na manufaa kwa watoto.


Hata hivyo, Mkuu wa Shule ya Msingi Waama, Mwalimu Tarsila John, amesema bado nguvu kubwa inahitajika ili wazazi wote wahamasike, kwani idadi ya wanafunzi wanaopata

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WAFUGAJI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU KUNUFAIKA RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO.

    August 28, 2025
  • WATUMISHI KUTENGEWA BAJETI YA KUTOSHA ILI KUSHIRIKI MASHINDANO YA SHIMISEMITA.

    August 23, 2025
  • JESHI LA MAGEREZA MBULU LATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

    August 23, 2025
  • WANAOPATA CHAKULA SHULE YA MSINGI WAAMA WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 83.

    August 22, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.