• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WAKULIMA WAASWA KUZINGATIA USHAURI ILI KUONGEZA TIJA KATIKA SEKTA.

Posted on: August 5th, 2025

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga leo agosti5,2025 akizindua rasmi  Maonesho ya nanenane ya 31 ya Kanda ya Kaskazini yanayofanyika Mkoa wa Arusha kwenye viwanja vya Themi- Njiro.


Mhe.Sendiga ameeleza kuwa lengo la nanenane ni kuonesha fursa zilizopo katika kilimo mifugo na uvuvi zinazochangia kuongezeka kwa pato la Taifa.


Aidha ameeleza kuwa Mpango wa Serikali ni kuhakikisha kilimo kinafanyika mwaka mzima tayari  skimu mbalimbali za umwagiliaji zimeanzishwa katika maeneo tofauti Nchini.


Jumla ya Bilioni 139 zimetolewa kwa kanda  ya Kaskazini katika Miradi ya umwagiliaji na ukarabati wa miundombinu.


"Mbolea za Ruzuku na mbegu za Ruzuku zimetolewa katika  Uongozi wa Awamu ya Sita." Ameeleza Sendiga.


Sambamba na hayo amewataka Wataalamu kufanya tathimini ya kila mwaka ili kujua maendeleo ya wakulima na wafugaji pia kutathimini hali ya udumavu na utapia mlo.


Halmashauri ya Mji wa Mbulu ni miongoni mwa Halmashauri zinazoshiriki katika Maonesho ya nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Themi- Njiro Arusha kwa kanda ya Kaskazini.


Kauli mbiu ya Maonesho ya Nane nane 2025 inasema "Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo Mifugo na Uvuvi 2025".

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WATANZANIA WAMETAKIWA KUILINDA AMANI

    October 14, 2025
  • HATI MILIKI 48 ZA ARDHI ZATOLEWA KWA WANANCHI MBULU MJINI.

    October 09, 2025
  • CHMT MBULU WAMETAKIWA KUIMARISHA USHIRIKIANO ILI KUTOA HUDUMA BORA.

    October 09, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO WASISITIZWA KUTUMIA MIKOPO KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.

    October 08, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.