• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WAFUGAJI WAMETAKIWA KUSHIRIKI KAMPENI YA CHANJO

Posted on: June 8th, 2025

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu aliyekuwa mgeni rasmi wakati akihutubia kwenye kilele  cha Maonesho ya nanenane ya 31 Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika viwanja vya Themi-Njiro Jijini Arusha.


Mhe. Babu ameeleza kuwa kampeni ya  chanjo na utambuzi wa  mifugo ni muhimu kwa kuwa itaenda sambamba na uboreshaji wa majosho, kujua idadi ya mifugo, kupunguza hatari za wizi wa mifugo na kuongeza thamani ya bidhaa za ngozi kwa kuacha alama za kimila kwenye mifugo.


“Kauli mbiu ya Maonesho haya ya nanenane imelenga kuhamasisha Wananchi kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Amani na utulivu”.ameeleza Mhe. Babu 


Pia ameongeza  kuwa siku mbili zimeongezwa ili kutoa fursa kwa Wananchi kuendelea kutembelea Mabanda na kuona teknolojia  mpya na za kisasa zinazotumika katika uzalishaji wa bidhaa za  kilimo,mifugo na uvuvi.


Awali akisoma taarifa ya Maonesho ya nanenane Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Bi. Maryam  Muhaji amesema kuwa jumla ya Taasisi 222 zimeshiriki katika Maonesho hayo na hadi kufikia Agosti 2025 jumla ya wananchi 35,984 wamehudhuria katika Maonesho hayo.

Kauli mbiu ya maonesho hayo mwaka huu 2025 ni “Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi 2025.”

Maonesho ya nanenane Kanda ya Kaskazini yatafungwa Agosti10, 2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WATANZANIA WAMETAKIWA KUILINDA AMANI

    October 14, 2025
  • HATI MILIKI 48 ZA ARDHI ZATOLEWA KWA WANANCHI MBULU MJINI.

    October 09, 2025
  • CHMT MBULU WAMETAKIWA KUIMARISHA USHIRIKIANO ILI KUTOA HUDUMA BORA.

    October 09, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO WASISITIZWA KUTUMIA MIKOPO KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.

    October 08, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.