• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WAFUGAJI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU KUNUFAIKA RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO.

Posted on: August 28th, 2025

Hayo yameelezwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu, Ndugu.Paulo Bura akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya  Mbulu Mhe. Michael Semindu katika hafla ya uzinduzi wa chanjo ya mifugo uliyofanyika katika kijiji cha Guneneda kata ya Tlawi  leo Agosti 28,2025.


Akizungumza katika hafla hiyo Ndugu. Bura amewaeleza wananchi kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha mifugo yote inakuwa na afya njema na inakuwa salama kwa matumizi ya kitoweo kwa binadamu ndiyo maana serikali imeamua kupunguza gharama za chanjo ya mifugo.

Halmashauri ya Mji wa Mbulu inatarajia kutoa chanjo ya mifugo kwa ng’ombe elfu hamsini na nne (54,000),kondoo na mbuzi  elfu Hamsini na nne (54,000) Pamoja na kuku laki moja na elfu kumi(110,000).



“Gharama halisi ya chanjo ya ng’ombe ni shilingi elfu moja(1000/=)lakini serikali imepunguza hadi kufikia shilingi mia tano (500/=),gharama halisi kwa mbuzi na  kondoo ni shilingi mia sita (600/=) lakini serikali imepunguza hadi kufikia shilingi mia tatu (300/=) kwa kila mfugo na kwa wafugaji wa kuku chanjo itatolewa bure", alisema Ndugu.Bura



Sambamba na hayo ameendelea kuwasisitiza wafugaji kuwa mabalozi kwa wafugaji wote kwa kuwaeleza  wafugaji wengine umuhimu wa chanjo kwa mifugo yao ili kutimiza lengo la serikali katika zoezi la utoaji wa chanjo za mifugo.



Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kijiji cha Guneneda Mhe. Christopher Gabriel ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwakumbuka wafugaji na kutoa chanjo ya mifugo kwa ruzuku.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WAFUGAJI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU KUNUFAIKA RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO.

    August 28, 2025
  • WATUMISHI KUTENGEWA BAJETI YA KUTOSHA ILI KUSHIRIKI MASHINDANO YA SHIMISEMITA.

    August 23, 2025
  • JESHI LA MAGEREZA MBULU LATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

    August 23, 2025
  • WANAOPATA CHAKULA SHULE YA MSINGI WAAMA WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 83.

    August 22, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.