• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WAFANYABIASHARA MBULU MJINI WAMETAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI

Posted on: September 15th, 2025

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe.Michael John Semindu   Septemba15, 2025  alipofanya kikao na  wafanyabiashara wote wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kwa lengo la kusikiliza na kutoa majibu ya Serikali juu ya changamoto ambazo zimekua zikiwakabili   wafanyabiashara hao.


Mhe. Semindu amewaeleza wafanyabiashara juu ya umuhimu wa kuwepo kwa ushirikiano kati ya wafanyabiashara na serikali ili pande zote mbili ziweze kufikia malengo.


“Serikali imelenga kuhakikisha kila mfanyabiashara anafikia malengo yake ya kibiashara,hivyo kila mfanyabiashara ana haki ya kuwasilisha changamoto ndiyo maana iko sababu ya kukaa na kujenga kitu kimoja kwa maendeleo ya Mbulu”, alisema Mhe.Semindu.


Kwa upande wake Meneja wa TRA wa  Mbulu Mji Ndugu. Serapio Luanda amewaeleza wafanyabiashara juu ya umuhimu wa kutumia Dawati Maalumu la Uwezeshaji biashara ili kuiwezesha serikali kutambua biashara ya kila mwananchi.


Sambamba na hayo Ndugu. Luanda amewakumbusha wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi kwasababu  kodi ndiyo msingi wa maendeleo.


Kwaniaba ya wafanyabiashara  wengine Ndugu.Saimon Bayo ameuomba uongozi wa Halmashauri kuwepo na maridhiano katika maamuzi ya ulipaji kodi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WAFANYABIASHARA MBULU MJINI WAMETAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI

    September 15, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA-KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025

    September 09, 2025
  • TUMIENI FURSA YA ELIMU YA WATU WAZIMA KUEPUKA UTEGEMEZI-MHE. SENDIGA

    September 04, 2025
  • WAFUGAJI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU KUNUFAIKA RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO.

    August 28, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.