• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

Mwenge wa uhuru umewasili mkoani Manyara na kupokelewa katika kijiji cha Aicho Halmashauri ya mji wa Mbulu ambapo ukiwa mkoani hapo utatembelea na kukagua, kuzindua na kuona miradi 44 yenye thamani ya zaidi ya bilioni nane katika halmashaur Saba za mkoa.

Posted on: June 14th, 2019

Halmashauri zitakazopitiwa na Mwenge ikiwa ni pamoja na kukaguliwa na kuweka jiwe la msingi ni Halmashauri ya mji wa Mbulu,Mbulu Vijijini, Halmashauri ya Hanang, halmashauri ya Babati mji, Babati Vijijini, Halmashauri ya Simanjiro pamoja na  kiteto.

Akipokea Mwenge wa uhuru kutoka mkoa wa Arusha mkuu wa mkoa wa manyara Alexander  Mnyeti, alisema mwenge wa uhuru ni moja ya alama ya Uhuru umoja na utaifa wa watanzania hivyo kwa kuzingatia hilo wananchi wa Manyara wanatambua umuhimu  wa mbio za mwenge wa uhuru kuwa ni chachu ya kuleta maendeleo na kuleta matumaini pale ambapo hapana matumaini upendo pale ambapo pana chuki na kuleta heshima sehemu palipojaa dharau.

Kati ya miradi 44 inayotarajiwa kuzinduliwa na mwenge wa uhuru ni pamoja na kuweka jiwe la msingi katika miradi 16 yenye thamani ya zaidi ya billion 3,kuzindua miradi 14 yenye thaman ya zaidi ya billion 2 pamoja nankuzindua miradi mbalimbali iliyogharimu zaidi ya million 600,kukagua miradi 10 iliyogharimu zaid ya billion 1 ambapo alieleza katika miradi hiyo nguvu za wananchi ni zaidi ya million 344 na serikali kuu ni jumla ya million 5899  na mamlaka za seikali za mitaa ni jumla ya million 211 na wahisani ni zaidi ya  billion 1.

 Aidha Mnyeti alisema wananchi wa mkoa wa manyara wameopokea vizuri mwenge wa uhuru na watatekeza kwa vitendo  kauli mbiu yake inayoeleza kuwa "maji ni haki ya kila mtu tuunze vyanzo vyake  na tukumbuke kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa"hakika ujumbe huo umesadifu na umelenga kuwafahamisha na kuwahamasisha wananchi kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji na kuwakumbusha kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ukiwa mkoani humo katika wilaya ya mbulu Mwenge ulifanikiwa kuzindua jumla miradi saba ambapo pia ulifanikiwa kuzindua mradi wa maji katika kata ya Barigish kijiji cha Arri  Bans wenye thamani ya Tsh million 399 unaotarajia kuwakomboa na adha ya maji zaidi ya wakazi wapatao 4597 wa kata hiyo.

Akizungumza na wananchi wa mkoa wa manyara kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Mzee Mkongee Alli alisema kuwa ni takribani miaka 20 imefika toka kifo cha baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hivyo katika kimuenzi hatoacha kufanya kufanya kazi kwa bidii ikiwa ni pamoja na kupambana na adui Ujinga, Maradhi na Umasikini ikiwa ni pamoja kuwahamasisha wananchi kulipa kodi ili kuongeza pato la Taifa.

Aidha Mzee Mkongee alisema kuwa kwa kutambua umuhimu wa maji ilani  ya Uchaguzi ya chama cha mapinduzi CCM ya mwaka  2015/2020 ni kuhakikisha ifikapo 2020 wananchi wote wanaoishi vijijini wanapata maji safi na salama kwa asilimia 85.

 "Hivyo katika wa ilani hiyo kuanzia mwaka 2006 hadi mwaka 2018 kwa upande wa vijijini miradi ipatayo 1659 imeweza kukamilishwa kwa wakati lakini bado serikali inasera za kimkakati za uchimbaji wa visima vya maji virefu na vifupi ambavyo  vimegharimu billion 14 " Alisema Mzee Mkongee.

Pia akawataka wananchi kutunza na kulinda vyanzo vya maji ili viweze kudumu kwa vizazi vya sasa na vizazi vijavyo ikiwa ni pamoja na kuacha kufanya shughuli za binadamu pembezo mwa vyanzo vya maji ikiwa ni kulima na kuchunga mifugo.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA June 02, 2025
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • UMITASHUMTA NA UMISETA KURINDIMA IRINGA 2025

    June 02, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA MBULU TC WAPATIWA MAFUNZO YA PSSSF

    May 29, 2025
  • MBULU TC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    May 28, 2025
  • MBULU MJI TUNAJIVUNIA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU-DT REHEMA BWASI

    May 27, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.