• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

JESHI LA MAGEREZA MBULU LATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

Posted on: August 23rd, 2025

Jeshi la Magereza Wilaya ya Mbulu leo Agosti 23,2025, limeonesha moyo wa upendo na mshikamano kwa jamii kwa kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali ikiwemo mchele, mahindi, mafuta ya kupikia, sukari, dawa za meno, taulo za kike (pedi) pamoja na baiti za watoto katika Shule ya Msingi Endagkot  kwa Watoto Wenye mahitaji maalumu.

Msaada huu umetolewa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 64 tangu kuanzishwa kwa Jeshi la Magereza baada ya Uhuru wa Tanganyika, maadhimisho ambayo kwa mwaka huu yanafanyika kitaifa Ukonga, Jijini Dar es Salaam, yakitarajiwa kuhudhuriwa na Mhe. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kama mgeni rasmi.

Mkuu wa Gereza la Mbulu, Sajenti Sp. Raulent Mushi, amesema kuwa Kituo cha Gereza la Mbulu kimeamua kuadhimisha siku hii kwa shughuli mbalimbali ikiwemo jogging ya pamoja, kufanya usafi, pamoja na kutoa zawadi kwa watoto wenye uhitaji maalumu wa Kata ya Endagikoti.


Aidha, amaeongeza kusema lengo kuu la shughuli hizo ni kuonesha mshikamano na jamii na pia kuthibitisha kuwa maadhimisho ya Jeshi la Magereza ni tukio la kitaifa linaloleta mshikikano na matendo ya huruma kila mahali.


Kwa upande wake Mkuu wa Shule ya Msingi Endagikot  na Msimamizi wa Watoto, Ndugu Costansia Joseph  Pissa, ameishukuru Jeshi la Magereza Mbulu kwa msaada wa chakula walichowapatia watoto.

Aidha, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za chakula cha mchana kwa watoto hao.

Hata hivyo, mpaka sasa kituo kina jumla ya watoto 56 wakiwemo wavulana 32 na wasichana 22. Imeelezwa kuwa kituo hicho kina bweni la wasichana pekee, huku watoto wote wakiendelea kuwa na mahitaji mbalimbali ya msingi.

Nae kaimu mkuu wa Idara ya Elimu Msingi , Ndugu. Zakaria Nyinyimbe ametoa shukrani kwa Jeshi la Magereza kwa kuona umuhimu wa kushirikiana katika kuwalea watoto. Amesema kitendo kilichofanyika ni kielelezo cha uzalendo na utu.

“Ujumbe huu utaifikia jamii na wadau wa elimu, ambao nao wataona wajibu wao wa kuchangia malezi ya watoto. Vilevile, watoto wenyewe wameona mfano huu na watapata fursa ya kujifunza kutoka kwake. Mungu awatie nguvu, na tunawakaribisha kwa moyo wa dhati kila wakati.”

Miongoni mwa wanafunzi wenye Mahitaji maalumu Birigita Daniel  ametoa shukrani kwa niaba ya wanafunzi wenzake kwa msaada uliotolewa na Jeshi la Magereza.

“Tunawakaribisha, tunawashukuru sana kwa kutuletea zawadi hizi. Mungu awazidishie mlipotoa”.Alisema Birigita


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA AFYA KWA MTOTO June 01, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WAFUGAJI WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU KUNUFAIKA RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO.

    August 28, 2025
  • WATUMISHI KUTENGEWA BAJETI YA KUTOSHA ILI KUSHIRIKI MASHINDANO YA SHIMISEMITA.

    August 23, 2025
  • JESHI LA MAGEREZA MBULU LATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

    August 23, 2025
  • WANAOPATA CHAKULA SHULE YA MSINGI WAAMA WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 83.

    August 22, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.