• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani
    • Peter Martin Sulle - Sanubaray
    • Alexander Amnaay Tango - Gehandu
    • Ally Akonaay Baha - Ayamohe
    • Anthon John Genda - Tlawi
    • Asia Shabani Amnaay - Bargish
    • Augustino Nade Panga - Nahasey
    • Basili Boay Gwawu - Imboru
    • Bayi Agustino Agapius - Endagikot
    • Emanuel Severino Malle - Kainam
    • Emanuel Akonaay Bura - Murray
    • Juliana Deengw Musso - Gunyoda
    • Kastuli John Umbe - Marang
    • Michael Safari Ami - Nambis
    • Mwajuma Athumani Kabuga - Uhuru
    • Peter Evaristi Golis - Daudi
    • Umbu Margwe Mayo - Ayamaami
    • Vita Kalamu Gilaksa - Silaloda
    • Anna Athanasi Hhayuma - Viti Maalum
    • Bernadetha Andrea Tsere - Viti Maalum

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa bwana Tixon Nzunda ataka Halmashauri ziimarishe vitengo vya ukaguzi wa ndani

Posted on: March 19th, 2019

Na Majid Abdulkarim na Mathew Kwembe

Serikaliimewataka watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuimarisha uwezo wa ofisiza Wakaguzi wa ndani ili waweze kusaidia jukumu la usimamizi thabiti wa fedhaza umma.

Agizohilo limetolewa leo na Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa bwana Tixon Nzunda katika Chuo cha Serikali cha Serikali zaMitaa Hombolo kilichopo jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa kikao kazi chakupokea na kuhakiki taarifa za majibu na mipango kazi ya utekelezaji wa hoja namapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Hesabu zaMamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

BwanaNzunda amesema kuwa ni wajibu wa Wakurugenzi wa Halmashauri kama MaafisaMasuuli kuhakikisha kuwa wanaimarisha ofisi za wakaguzi wa ndani kwa kuwajengeamazingira mazuri ya kufanya kazi, kuwapa raslimali watu wa kutosha na raslimalifedha.

“Mkaguziwa ndani ni kioo cha taasisi yetu, Mkurugenzi bora hawezi kukosa kuzungumziamisingi ya utawala bora, ambayo ni pamoja na kuhakikisha kuwa anajenga misingithabiti ya usimamizi wa fedha za umma,” amesema bwana Nzunda.

Amesemakwa mujibu wa kifungu cha sheria ya fedha za Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka1982 pamoja na marekebisho yake, Waziri mwenye dhamana ya serikali za Mitaaamepewa wajibu wa kuhakikisha Mamlaka za Serikali za Mitaa zinakuwa nausimamizi thabiti wa fedha.

BwanaNzunda ameongeza kuwa taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikalizimekuwa zikibainisha kuwa bado kuna tatizo kubwa la halmashauri kutotekelezamapendekezo ya ukaguzi hasa kwa miaka ya nyuma.

“Taarifaya CAG kwa mwaka 2016/17 ilibainisha kati ya mapendekezo 12,703 yaliyotolewamwaka 2015/16 ni mapendekezo 4,262 sawa na asilimia 34 tu ndiyo yaliyotekelezwakwa ukamilifu,” amesema.

Vilevile bwana Nzunda amesema kati ya maagizo 748 yaliyotolewa na kamati ya LAAC,maagizo yaliyotekelezwa na kukamilika yalikuwa 233 sawa na 31 tu.

Awaliakimkaribisha Kaimu Katibu Mkuu kufungua kikao hicho, Mkurugenzi wa Kitengo chaUkaguzi na Ufuatiliaji wa fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa Bi MiriamMmbaga amesema kuwa kikao hicho kitafanyika kuanzia tarehe 19-26 Machi, 2019ambapo kitawahusisha Wakurugenzi, Waweka Hazina na Wakaguzi wa Ndani kutokaMikoa 26 na Halmashauri zote 185 nchini.

Amesemalengo la kikao hicho ni kuwawezesha Watendaji hao kujibu hoja za CAG, kuongezauwajibikaji katika utendaji wao wa kazi ili hoja hizo zisijitokeze tena katikahalmashauri zao.

Kwamujibu wa Bi Mmbaga takwimu za taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu zaSerikali inaonyesha kuwa katika mwaka wa fedha 2013/14 kati ya hoja 7921zilizoibuliwa ni hoja 2330 sawa na asilimia 29 ndizo zilizopatiwa majibu.

Kufuatiakuibuliwa kwa hoja hizo za CAG, Ofisi ya Rais TAMISEMI baada ya kupokea maagizoya Waziri Mkuu iliwataka Wakuu wa Mikoa wasimamie na kujadili utekelezaji wamapendekezo ya CAG na kuchukua hatua ambapo jumla ya watumishi 203 kutokaMamlaka za Serikali za Mitaa walichukuliwa hatua za kinidhamu na za kisheria.

Kwaupande wake Mkaguzi wa ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi anayeshughulikiaSerikali za Mitaa bwana Mwanyika Semroki amesema kuwa ni vyema watendaji waMamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha kuwa wanazingatia udhibiti nausimamizi imara wa fedha za umma hasa kwa kutambua maeneo au miradi iliyokwenye hatari ya kufanyiwa ubadhilifu.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU April 08, 2025
  • KARIBU WATUMISHI WAPYA IDARA YA AFYA-MBULU TC November 12, 2024
  • NJIA YA KUWASILISHA MALALAMIKO KUPITIA eMREJESHO December 16, 2024
  • Ona zote

Habari mpya

  • MITI 500 YAPANDWA KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MAADHIMISHO MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

    April 25, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI HAKIKISHENI WATOTO WAMEPATA CHANJO YA POLIO

    April 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA MBULU TC YAKAGUA MIRADI

    April 23, 2025
  • KAMATI YA FEDHA MBULU TC YAKAGUA MIRADI

    April 23, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Manyara Reginal Website
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Ikulu
  • BLOG RASMI YA OFISI YA WAZIRI MKUU
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.