• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

WATANZANIA WAMETAKIWA KUILINDA AMANI

Posted on: October 14th, 2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, amewasihi Watanzania kuendelea kudumisha na kulinda amani iliyopo nchini kwa nguvu zote.


Dkt. Mpango alitoa wito huo Oktoba 14, 2025, jijini Mbeya, wakati akihutubia maelfu ya wananchi waliohudhuria kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025, ambapo mwenge huo umekimbizwa katika Halmashauri 195 za Tanzania Bara na Visiwani.


 “Mwenge wa Uhuru ni tunu muhimu kwa Taifa letu. Tunapaswa kuwafundisha watoto wetu kuhusu historia yake na mchango wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, katika kuasisi Mwenge huu,” alisema Dkt. Mpango.


Amesisitiza kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya Taifa, hivyo Watanzania wanapaswa kuendelea kuishi kwa upendo, mshikamano na bila ubaguzi wa aina yoyote.


“Tukumbuke kuwa amani ni urithi wetu wa thamani. Tuihifadhi, tuitunze, na tuhakikishe tunaendelea kuishi kwa umoja kama Watanzania,” aliongeza.

Wakati huohuo, Makamu wa Rais amewakumbusha wananchi kutumia haki yao ya kikatiba kwa kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, kote nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WANAFUNZI WAASWA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA SHULE

    December 01, 2025
  • WANANCHI MBULU WAMETAKIWA KUWA MABALOZI WA UTOAJI WA TAARIFA ZA RUSHWA.

    November 25, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO WASISITIZWA KUVIISHI VIAPO

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO JIMBO LA MBULU MJINI WAPATIWA MAFUNZO

    October 26, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Tamisemi
  • Ikulu
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • Mbulu Tc Facebook
  • Mbulu Town Council WatsApp
  • Mbulu Tc Instagram

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.