• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe kwa wafanyakazi |
Halmashauri ya Mji Mbulu
Halmashauri ya Mji Mbulu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Biashara Viwanda na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA MANUNUZI
      • FEDHA NA UHASIBU
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UHIFADHI WA MALIASILI NA MAZINGIRA
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
  • Machapisho
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Matukio
  • Miradi
    • Approved Project
    • Ongoing Project
    • Completed Project
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma kwa watumishi
    • Maij
    • Elimu
    • Uvuvi
  • Kata
    • Ayamaami
    • Ayamohe
    • Bargish
    • Daudi
    • Endagikot
    • Gehandu
    • Gunyoda
    • Imboru
    • Kainam
    • Marangw
    • Murray
    • Nahasey
    • Nambis
    • Sanubaray
    • Silaloda
    • Tlawi
    • Uhuru
  • Uwekezaji
  • Madiwani

Ziara ya Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Mkoani Manyara

Posted on: November 14th, 2018



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kiakzi Mkoani Manyara leo tarehe 14/11/2018 akitokea Mkoani Kiliamnajaro na kupokelewa katika Mji mdogo wa Mirerani Mkoani Manyara.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara ndugu Alexander Mnyeti akisoma taarifa ya mkoa wa Manyara mbele ya Mhe. Makamu wa Rais Samia Suluhu katika ziara yake ya kikazi Mkoani manyara

Akimkaribisha Mkoani Manyara  wakati wa kumpokea Makamu wa Rais katika Mji mdogo wa Mirerani Wilayni Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexender Mnyeti alisema kuwa  Mkoa wa Manyara  umepata maendeleo katia sekta mbalimbali mbalimbali ikiwemo Kilimo,Miundombinu,Elimu,Madini,Afya,Maji n.k

“Mh.Makamu wa Rais kwa sasa Mkoa wa Manyara unaendelea kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinakuwa vya kutosha katika vituo vyote vya kutolea huduma kwani  kwa sasa bajeti ya dawa imeongezeka hadi kufikia asilimia 93.9 yaani kwa kifupi Dawa zinasubiri wagonjwa” Alisema Mh.Mnyeti.

“Mkoa wa Manyara umejenga vituo vya Afya  saba katika Wilaya zote zilizopo katika Mkoa huo na vituo hivyo vinatarajiwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi kuanzia tarehe 30 Novemba 2018” Mheshimiwa Mnyeti alisisitiza.

Katika sekta ya Madini Mkuu wa Mkoa wa Manyara alisema kuwa Mkoa umebarikiwa iana mbalimbali ya madini kama Tanzanite,Tsavorite,Toummaline,Rhodolite,Grossulanite,Lolite,Limestone  n.k.

Akizungumzia faida iliyopatikana baada ya kujengwa ukuta katika machimbo ya Mirerani Mkuu wa Mkoa wa Manyara alisema “Mhesimiwa Makamu wa Rais Miezzi kumi kabla ya kujengwa ukuta mapato yalikuwa milioni  400 lakini miazi kumi baada ya ukuta kujengwa mapato ni Bilioni 2.1 hii ina maana mapato yameongezeka kwa asilimi 425”

Akiongea baada ya kupokea ripoti ya Mkoa Makamu wa Rais alisifu juhudi mbalimbali zinazofanywa na Mkoa katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Mkoa wa Manyara.

Pamoja na pongezi hizo lakini pia Makamu wa Rais aliwataka viongozi wa Mkoa wa Manyara kuongeza juhudi katika suala la lishe ili kuondokana na udumavu, vilevile alizitaka mamlaka za serikali za mitaa kufanya juhudi katika kupiga vita juu ya maambukizi ya UKIMWI “Japokuwa Mkoa wa Manyara ni Mkoa wa tatu kutoka mwisho bado juhudi zinahitaji ili kusiwe na maambukizi mapya” Alisistiza Makamu wa Rais.

Ziara ya Makamu wa Rais itaendelea kesho kwa kutembelea Ukuta wa Mirerani, Kufungua Kiwanda cha Graphite na kufanya Mkutano wa hadhara huko Orkesumet Wilaya ya Simanjiro.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu Anna P. Mbogo (aliye karibu na afande Uhamiaji)  pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali ya Mkoa, wakisikiliza kwa makini hotuba ya Makamu wa Rais

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO MUHIMU KUTOKA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA KUANZA KUTOLEWA MBULU MJI May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA MBULU June 09, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA VITUO WASISITIZWA KUVIISHI VIAPO

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO JIMBO LA MBULU MJINI WAPATIWA MAFUNZO

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI 274 WAPATIWA MAFUNZO JIMBO LA MBULU MJINI

    October 25, 2025
  • VIONGOZI WA DINI MBULU WAOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 24, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BUNGENI
More Videos

Tovuti mashuhuri

  • Babati dc Website
  • Hanang' dc Website
  • Babati Town Website
  • Simanjiro Website
  • Kiteto Website
  • Mbuludc Website

Tovuti Mbadala

  • Tamisemi
  • Ikulu
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • Mbulu Tc Facebook
  • Mbulu Town Council WatsApp
  • Mbulu Tc Instagram

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.