Halmashauri ya Mji wa Mbulu yasherekea sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kupanda mti ya matunda chuo cha ufundi Tango FDC. Zoezi lililoongozwa na Sezaria Makota Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Wakuu wa Idara/ Vitengo na Wanachuo wa Tango FDC. Mkuu wa Wilaya kwenye salamu zake amewasihi wanafunzi na watumishi wa chuo hicho kuhakikisha wanaitunza miti hiyo ili kulinda mazingira na kuboresha afya zao
Ujenzi
Anuani: P.O Box 164 Mbulu
Simu: +255 272 2533331
Simu ya kiganjani:
Barua pepe: td@mbulutc.go.tz
Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.