Kamati ya Fedha na Utawala pamoja na Wataalam wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu watembelea na kufanya ukaguzi kwenye baadhi ya miradi ya maendeleo ya
1. Ujenzi wa Kituo cha afya Kainam
2. Ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari Kainam
3. Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya SanuBaray
4. Ujenzi wa jengo la Wagonjwa wa Dharura (EMD) Hospitali ya Mji wa Mbulu.
5. Ujenzi wa jengo la Wagonjwa Mahututi (ICU) na
6. Mradi wa Halmashauri wa ufyatuaji wa Tofari za Saruji.
Kamati imeridhika na maendeleo ambayo miradi imefikia sambamba na kutoa ushauri mbali mbali kwa lengo la kuongeza ufanisi na ubora wa hiyo Miradi.
Pia Mwenyekiti amewashukuru wananchi wote wanaoendelea kumuunga mkona Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa kujitolea kwa nguvu na mali hsa hasa wananchi wa kata ya Kainam kwa kazi nzuri ya usimamizi.
Ujenzi
Anuani: P.O Box 164 Mbulu
Simu: +255 272 2533331
Simu ya kiganjani:
Barua pepe: td@mbulutc.go.tz
Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.