Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Bi. Sezaria Venneranda Makota akifunguwa kikao kazi cha kujenga uelewa kuhusu mpango wa TASAF kipindi cha pili Halmashauri ya Mji wa Mbulu. ambapo kwenye hotuba yake amemshukuru Mhe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kunia njema yake ya kuwezesha mpango wa TASAF awamu ya pili wa kupunguza na kuondoa kabisa umaskini katika ngazi ya Kaya.
Pili Mhe. Mkuu wa Wilaya amewataka washiriki wote kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi mkubwa ili kuweza kufikia malengo ya Mhe. Rais ya lengo la kubaini na kuandikisha kaya za walengwa
Ujenzi
Anuani: P.O Box 164 Mbulu
Simu: +255 272 2533331
Simu ya kiganjani:
Barua pepe: td@mbulutc.go.tz
Copyright ©2020 GWF . All rights reserved.